Monday, January 28, 2013

Fikilia kwa makini na Uchangie juu ya Kauli hizi...........

 Imeonekana kuwa sera ya lugha ya nchi yetu (Tanzania) ni dhaifu,inahitaji kuboreshwa. Kwa mfano sera ya lugha ina mpango lugha mmoja tu wa Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia na kusahau lugha ya Kiingereza, Kifaransa na zinginezo. Hii inatokana na changamoto za Utandawazi, kwahiyo sera ya lugha ni lazima ije na utekelezaji wa utumizi wa lugha zingine kama zilivyotajwa hapo juu.


 "...................kwahiyo Rais wa nchi ni lazima aunde Tume ya Elimu ili ichunguze mfumo mzima wa elimu na gharama zake na utekelezaji wake.Baada ya hapo Tume hiyo ije na mpango unaotekelezeka wa kimaendeleo.............".(Profesa Y.P Msanjila)


Ukiwa kama mdau wa Lugha ya Kiswahili na Sera zake,unatoa mchango gani katika hitimisho hilo hapo juu.Karibu tushiriki.

Shairi: ASali Ya Afrika


Hili lilikuwa ni mojawapo ya Mashairi yaliyotakiwa kusomwa na Kughaniwa siku ya Kongamano,ila kutokana na muda halikupata nafasi ya kusomwa,lakini kwa juhudi za makusudi,tumekuletea hapa ulisome na kupata maudhui yake.....KARIBU SANA.



 ASALI  YA AFRIKA

                                                Lugha moja Afrika,                   si mpya bali asili,
                                                Ladha yake imefika,                  mdomoni sio kali,
                                                Kwa madaha kutamka,             uichezeapo akili,
                                                Ni asali Afrika,                           lugha tamu ya asili.

                                                Tumepita hatukwona,              Pwani hata milimani,
                                                Dunia tumeiona,                        hata ndani vilindini,
                                                Watu wanatazamana,               ikifika sikioni,
                                                Ni asali Afrika,                          utambapo kwa maneno.

                                                Asili yake Afrika,                      Pwani  yetu Mashariki,
                                                Tanzania yatukuka ,                 hata Kenya waafiki,
                                                Hata Ruanda imeruka ,            hakuna aliye dhiki,
                                                Ni asali Afrika,                          Burundi na hata Kongo.


                                                Umoja wa Afrika ,                    nao pia wakubali,
                                                Waonjapo wamefika,               utamu bila kabala,
Ulimi unahusika,                      ushahidi wakubali,
Ni asali Afrika,                          hasa huku Tanzania.


Wapo nguli Tanzania,                hakika tunawaenzi,
Shabani kwa yake nia,              Kiswahili alienzi,
Massamba alopania,                 kupandisha kurugenzi
Ni asali afrika,                            hao ndio kurugenzi.

Wapo wengine wengi,               kuwataja nachelea,
Wameandika kwa wingi,          nao hawajachelae,
Lugha yetu ya msingi,              kimapenzi inalea,
Ni asali Afrika ,                          kuiacha sitapenda.

Hakuna lugha  moja,                ya mawanda Afrika,
Mipaka si nchi moja,                robo yake Afrika,
Ndimi zao zimeonja,                 utamu uliotukuka,
Ni asali Afrika,                          hakuna lugha nyingine,.

Tanzania heko yako,                 kuienzi lugha yetu,
Hakika si peke yako,                na wengine si majitu,
Wanasifu mbele yako,              hawaachi huku kwetu,
Ni asali afrika,                            pembe yote Afrika.



Vyovyote Mashariki ,                lipo pale kama somo,
Teku chetu ndio hiki,                 tuna soma hili somo,
Na wengine waafiki ,                  kusaka utamu humo,
Ni asali Afrika ,                           hatuachi kutafuta.

Wahadhiri mahsusi,                  pomoni wamejuzika,
Taaluma yao  mahsusi ,            Kiswahili wanapika,
Wanazuoni wasusi,                    kwa lugha ilosukika
Ni asali Afrika ,                          njooni wote itayari.

Mbogela kamtazame.               Utadhani chomsiki,
Msamila usiseme,                     Kiswahili ni mziki,
Sekile hajawa kame,                 Fasihi kwake Batiki
Ni asali Afrika ,                         anatulisha Kamage.

Sijui tuseme nini,                     yenyewe mahanjumati
Ukila kaa pembeni,                 usije pigwa Manati
Gele zao zi pembeni,               kwa wengine hainati
Ni asali Afrika,                         njooni wote muilambe,




Imetayarishwa na 1.Chande Raphael TEKU/BEL/10917.

                              2. Nkwama Rutengamaso/TEKU/BEL/101044 .                                  

Sunday, January 27, 2013

Kongamano la Kiswahili lafana...

Ni tarehe 26,Januari 2013,ni siku ya kumbukumbu kwa Wanachuo wa Teku,hususani wale wanaosoma somo Kiswahili kama sehemu ya Kozi zao.........ama hakika ule msemo wa shughuli haina udogo....ulijitokeza...lakini hatimaye shughuli ilipendeza na hata kufana.....wapongezwe wale walioandaa na kufikia mafanikio.Zifuatazo baadhi ya picha zenye kuonesha matukio machache katika Kongamo hilo. Karibu sana!!!!!

Aliyesimama ni Mama Mboya aikiwa anasema chochote kabla ya kumkaribisha Profesa Msanjila kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam(UDSM) ili kutoa mada iliyoandaliwa siku hiyo.




Mama Mbayo akiwa yupo kidijitali{kijijiti}zaidi.....huku akichukua matukio mbalimbali ya kongoma.....hongera sana Mama kwa kuwaongoza vijana kimtandao.


Hongera sana dada....!!!!haya ni baadhi ya maneno yaliyokuwa yakisemwa na washiriki wa kongamano....ni mmoja kati ya washiriki waliotoa burudani siku ya kongamano.......ailitoka Kimpotompoto.....


hawa ni vijana...ambao walileta raha katika kongamano hilo....kwa kutoa maagizo na vichekesho vyenye mafundisho ya kutosha.....hakika vijana wanavipaji...vinatakiwa kuendeleza.

kaka Mgeta nae alikuwepo na kufuatilia Kongamano kwa karibu sana.......pamoja dada wa Bel,akiwa amevalia tenge kama la Mama Kikwete.

B
Baadhi ya washiriki wa kongamano walipiga picha ya pamoja na profesa Msanjila akiwa na mkewe pamoja na muhadhiri Sigila kama mkuu wa idara ya lugha.

Profesa akiwaaga wanakongamano.............kwaheri baba......ufike salama Dar es salaam.

Friday, January 18, 2013

we are on Facebook....

Dear members.....!!!you may now share with us via your Facebook account page...

Just so simple....click LIKE then things will HAPPENS...... pia unaweza kutembelea TEKU Website na Baadhi ya Blog Zingine kupitia Blog yetu......nenda sehemu iliyoandikwa "Chek out these site" then Click utaona unachokihitaji.
 
                               Enjoy your Self!!!!!!!!!!!!!!!

Tuesday, January 15, 2013

Pictures:Members and Committee of Beligeki Blog

students and members of BELIGEKI BLOG,infront of TEKU HALL




                                                 The BELIGEKI BLOG committee

Monday, January 14, 2013

The importance of Technology in Education


Why Technology is important in Education????
Today, technology is the need of the day and one of the most discussed subjects of our everyday lives. Facebook, Twitter, computers, smartphones and now tablets are some of the words almost everyone recognizes. While most of you won’t have to further the knowledge you gained in various school subjects, you can’t do the same thing with your knowledge in technology. Why? Because technology is constantly evolving and you have to keep up with all the latest news.

As we are student teachers of Teofilo Kisanji University, we have a wealth of information from which to choose for our classrooms. We can now bring our knowledge and skills into the classroom through pictures, music, and other visuals to a degree never before possible. We can communicate with students from other countries, and we can take classes from teachers we have never met in places we have never been. We can apply the knowledge  and skills from the classroom to simulations available to us through the Internet, and we can develop projects across grade levels and campuses. Students are no longer limited by the walls of a classroom or the knowledge of a single textbook. The world is available to most classrooms, even when students do not have their own computers. We can bring the media into the classroom through visuals, sounds, smells, and tastes. Because our brains rely heavily on stimulus from the outside for learning, this is just one of the reasons that teaching with media is brain friendly. In addition, we should bring technology to the classroom
Because: Technology is not limited by the classroom walls. Technology does not know or care what the student’s socioeconomic status may be, and thus helps to level the playing field for these students. Technology provides an equal opportunity for everyone to learn. Technology is more in tune with the way our students learn today. Technology is so much a part of the real world that to limit its use in the classroom is to limit our students’ ability to compete in the world. But then;
You as student teachers, you should know that no matter what job you have decided to do, you must know how to use the computer and do various tasks in almost any operating system like Windows, Mac OS X, or even Linux sometimes! You must know how to use an office suite and maybe even more programs/applications, depending on your job. There is no need to say that all the institutions or schools have such requirements from their employees. You can already see the importance of knowing how to navigate yourself around an operating system. This is one of the main reasons why technology should be one of the main courses in schools, Colleges or University.
What’s more, subjects like history, economy and science, English language and even Kiswahili, would be done much more efficiently with the use of multimedia such as pictures, videos, graphs and more. Just by using projection screens, the lesson would instantly become less boring and students, especially the visual learners, would be able to absorb the material much easier. Today, it’s not enough just to know how to pass the information to children and adolescents in order to be a teacher. You have to know how to use an office suite and maybe even more programs/applications to do several tasks. You can’t just hand write some information, photocopy them and hang them to your students. You must know how to write documents on the computer and make spread sheets to keep an organized students’ database, among other, and this is just an example to see the importance of knowing how to use a computer. The teacher’s role is not just to read a book in the classroom. A student can do this by himself, or even use an online library, like Wikipedia, which will provide him a plethora of information anywhere, anytime. The teacher’s role is to help the students to understand his lesson, and this can be easily achieved by using multimedia. If a student sees his English language lesson on a video, he will learn things much easier than by listen to his teacher reading it or by reading the book.

Speaking of books, another advantage of technology is that there is no longer need for books. Instead of carrying dozens of books every day, students could just carry a laptop, net-book, tablet or e-book which will contain all their books, notes and projects and even a research. They weight far less than an average of 10 books and 10 notebooks that each student has to carry every day, they are more Eco-friendly (less trees cut) and less expensive.
Technology can also help to teach children that leave in remote areas without schools or teachers. Just by using a computer, students could watch lessons online and send their projects via email to a teacher who will check them and rate them. As a result, children who don’t have access in schools can be taught and make their dreams come true, no matter where they live. Not being able to realize your dreams because you live in a remote area is a form of racism after all! This has already begun in the Tanzania and even in other countries all around the world!
Furthermore, there are people who say that children are “spoiled” by technology. Regardless of these arguments, technology is an important part of today’s society. Therefore, by incorporating it into the classroom students will be better equipped to make the transition to the workplace. In addition, studies have shown that children conversant with technology show improvements in their writing, reading and math skills.
Overall, I don’t write this to say that teachers in school are not important or that everything can be done just by using computers. It shouldn’t be ignored though, that all workplaces now require from the employees to know how to do certain tasks on a computer and that by familiarizing their students with technology, teachers can prepare them for what’s ahead of them. As they say, details make the difference, so having that little extra piece of knowledge could help you succeed.
Your sincerely,
 @ Brother Jaribu Amry.



Thursday, January 10, 2013

WELCOME TO BELIGEKI

ON BEHALF OF BLOG COMMITTEE WE ARE HAPPY TO INVITE YOU TO VISIT OUR BLOG  KNOWN AS "BELIGEKI"......
This is TEOFILO KISANJI UNIVERSITY student's blog who are  studying Bachelor's of arts with education and education languages.



Les etudiants a` L'UNIVERSITE TEOFILO KISANJI etudie l'education en langue et l'education d'art et science . Contacte avec nous par "BELIGEKI".


kwa niaba ya uongozi wa blog wanayofuraha kuwakaribisheni katika blog ijulikanayo kama "BELIGEKI".